Mzee : Tofauti kati ya masahihisho
no edit summary
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 1:
'''Mzee''' ni [[mtu]] aliyeishi miaka mingi baada ya kuzaliwa.
Katika [[jamii]] za
Hapo kuna [[hoja]] ==Mzee katika jamii==
[[Halmashauri]] ya wazee ni [[bodi]] ya kufanya maazimio muhimu. Mkutano wa wazee ni mahali pa kuchukua [[rufaa]], kwa hiyo ina [[kazi]] inayolingana na [[mahakama kuu]] katika jamii zenye [[taasisi]] Wazee ni watu wanaotunza [[mila]] na [[desturi]] pamoja na [[kumbukumbu]] ya [[historia]] na wanapaswa kusikilizwa kwa heshima.<ref>Elders were and are the guardians of the culture, traditions, and history of the people. Integrity, generosity, wisdom, articulateness, subtlety, patience, tactfulness, gratefulness, and being listened to and respected by others are all qualities of an Elder. [http://www.africanholocaust.net/ritesofpassage.html#elder Elder Roles]</ref>▼
Katika jamii zilizopangwa kwa [[rika]] (vikundi kulingana na umri), kama [[Wamasai]] au [[Wazulu]], rika
▲<ref>Elders were and are the guardians of the culture, traditions, and history of the people. Integrity, generosity, wisdom, articulateness, subtlety, patience, tactfulness, gratefulness, and being listened to and respected by others are all qualities of an Elder. [http://www.africanholocaust.net/ritesofpassage.html#elder Elder Roles]</ref>
Wakati umri unazidi na wazee wanakuwa dhaifu [[ugumu]] unaanza kuendelea na cheo cha heshima. Hata hivyo wote wanapaswa kuonyesha heshima kwao hata kama hali halisi hawatajali tena ushauri wao.
▲Katika jamii zilizopangwa kwa [[rika]] (vikundi kulingana na umri) kama Wamasai au [[Wazulu]] rika ya wazee inapaswa kusikilizwa katika maazimio yanayohusu jamii yote.
==Mzee katika tamaduni mbalimbali==
[[Matumizi]] ya kulingana ya maneno yenye maana ya "mzee" yanapatikana kwa [[lugha]] mbalimbali:
* neno '''[[sheikh]]''' (شيخ) kwa [[Kiarabu]] kiasili linamtaja mtu mwenye umri wa juu
* "[[Senati]]" katika mfumo wa kisiasa wa nchi mbalimbali ni kitengo cha [[bunge]]. Neno
==
<references/>
[[Jamii:Cheo]]
[[Jamii:Utamaduni]]
|