Ukoloni : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 2 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q7167 (translate me) |
masahihisho kadhaa, bado tayari |
||
Mstari 1:
[[Picha:Colonization 1945.png|thumbnail|450px|Ramani ya ukoloni duniani mwishoni mwa [[Vita Kuu ya Pili ya Dunia]] mwaka [[1945]].]]
''' Ukoloni''' ni mfumo wa [[taifa]] moja kuvuka mipaka yake na kutawala maeneo ya mbali yanayokaliwa na watu wengine kwa nyanja za [[uchumi|kiuchumi]], [[utamaduni|kiutamaduni]] na [[jamii|kijamii]]. Maeneo haya yanaweza kuitwa [[koloni]] au [[eneo lindwa]].
Ukoloni unaitwa hasa kipindi tangu karne ya 15 ambako [[Ureno]] na [[Hispania]] zilianza kuenea Afrika na [[Amerika ya Kusini]] na kudumu hadi baada ya [[Vita Kuu ya Pili ya Dunia]]. Lakini kulikuwa na vipindi vya ukoloni pia zamani katika historia kama vile ukoloni wa [[Roma ya Kale]], ukoloni wa Waarabu na vingine. Ukoloni kwa maana hii inaweza kuwa tofauti na kuundwa kwa [[koloni]] katika vipindi mbalimbali vya historia ambako maeneo bila wakazi au penye wakazi wachache sana yaliingiliwa na watu kutoka sehemu nyingine.
Mstari 30:
==Makoloni yaliyokuweko Afrika==
1.
2.
3.
3.
4.
5.
8.
7.
== Vitabu ==
|