Burundi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Mstari 120:
Lakini baadaye walianza kuingilia zaidi na ilhali wakati ule walipendelea Watutsi karibu na machifu wote walikuwa Watutsi na Wahutu walipotea katika nafasi za uongozi kimahali.
 
Tangu 1946 Shirikisho la Mataifa lilikwisha na Ubelgiji ilipokea wito wa kutawala Ruanda-Urundi na [[Umoja wa Mataifa]].

== Uhuru ==
Mwaka 1 kabla ya uhuru kulikuwa na uchaguzi wa kwanza chini ya usimamizi ya [[UM]] na chama mshindi ilikuwa UPRONA iliyoongozwa na mwanamfalme Mtutsi [[Louis Rwagasore]] aliyemwoa mke wa Kihutu na chama kiliunganisha pande zote mbili. Lakini miezi michache Rwgasore aliuawa na chama chake kilitengana kufuatana na ukabila.
 
1962 Umoja wa Mataifa uliamua kuipa Ruanda-Urubdi uhuru kamili, lakini kila nchi pekee.