Eneo la kudhaminiwa : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Mstari 59:
 
=== Maeneo ya kudhaminiwa ya kundi C) ===
[[Picha:League of Nations mandate Pacific.png|300px|thumbnail|Maeneo ya kudhaminiwa katika Pasifiki]]
Kundi hili lilijumlisha maeneo mengine yaliyokuwa chini ya Ujerumani pamoja na
* Afrika ya Kusini-Magharibi ikatawaliwa na [[Afrika Kusini]] kama sehemu ya nchi hii ikapata uhuru kama [[Namibia]] mwaka 1990.
Line 72 ⟶ 73:
Marshall, Palau na Mikronesia vyote vina mikataba ya ushirikiano na Marekani.
 
== Athira ya hali ya kisheria kwa maisha ya koloni ==
Maeneo ya kudhaminiwa ya B) yalitendewa kama koloni za kawaida. Lakini masharti ya udhamini yalikuwa muhimu kwa maazimio ya serikali ya kikoloni hasa baada ya 1946.