Mzinga wa nyuki : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 49 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q165107 (translate me) |
Masahihisho |
||
Mstari 1:
[[Image:Imker.JPG|thumb|right|200px|Fremu ya
[[Image:Beehive 5.JPG|thumb|right|200px|Mzinga wa kisasa huwa na fremu za nsega ndani yake]]
'''Mzinga wa nyuki''' ni mahali au nafasi ambako kundi la [[nyuki]] inakaa pamoja na [[
Porini nyuki wanatafuta tu shimo lolote au pango na kujenga
Namna ya mzinga wa kidesturi katika [[Afrika]] ni nusu mbili za kipande cha mgogo kombe zinazofungwa kwa kamba na kuacha nafasi katikati. Nyuki wanaotafuta nafasi wanapenda kuingia na kuanzisha kundi jipya mle.
Mstari 13:
Mizinga ya kisasa inaepukana na tatizo hili kwa muundo tofauti wa mzinga.
Mzinga huwa sanduku lenye fremu kadhaa ndani yake. Nyuki hutumia fremu kujenga
[[
[[Jamii:Ufugaji]]
|