Myanmar : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
→‎Picha: utawala
No edit summary
Mstari 50:
|
}}
 
[[Picha:Burma en.png|thumb|left|Majimbo ya Myanmar]]
'''Myanmar''' ''(pia: Myama; Myamari)'' ni nchi ya [[Asia ya Kusini-Mashariki]] inayojulikana pia kwa jina la '''Burma''' au '''Bama'''. Imepakana na [[China]] upande wa kaskazini, [[Laos]] upande wa mashariki, [[Uthai]] kwa kusini-mashariki, [[Bangladesh]] na [[Uhindi]]. Kuna pwani la [[Bahari Hindi]] lenye urefu wa 2,000 km.
 
Mstari 108:
== Utawala ==
Myanmar imegawiwa kwa kusudi la utawala kwa madola 7 na mikoa 7. "Madola" ni maeneo yanayokaliwa na jumuiya na makabila ambayo ni tofauti na kundi kubwa la taifa linaloitwa ''Bamar''. Maeneo ya Bamar huitwa mikoa.
[[Picha:Burma en.png|thumb|left|Majimbo ya Myanmar]]
 
Madola ya jumuiya ndogo yapo zaidi karibu na mipaka ya nchi. Kwa kuanzia kwenye kusini-magharibi ni zifuatazo:
* (1) [[Dola la Rakhaing]] ''(Arakan)'' (Makao makuu: [[Akjab]])