Bamba la gandunia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Roboti: Imeondoa: zh,pt,pl,sk,ru,fr,es,ms,fi,et,de,sl,ja,bn,cs,nl,ar,sv (strongly connected to sw:Gandunia) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image:Mabamba gandunia (tectonic plates).png|thumb|350px|Mabamba gandunia ya dunia yetu]]
'''Bamba gandunia''' ni
Gandunia<ref>neno gandunia si kawaida bado, tunafuata hapo kamusi ya [[KAST]].</ref> ni elimu kuhusu ganda la dunia. Hoja la sayansi kuhusu [[gandunia]] ni ya kwamba ganda la dunia limevunjika kwa vipande mbalimbali vinavyoitwa mabamba. Kila bamba lapakana na mabamba mengine. Mabamba yasukumwa na mikondo ya moto chini yao kama majani yanayokaa usoni wa maji inayoanza kuchemka katika sufuria. Hivyo kila bamba lina mwendo wake wa pekee pamoja na au dhidi ya mabamba mengine. [[Tetemeko la ardhi]] ni dalili ya kwamba mabamba yamesuguana na hivyo kusababisha mishtuko tunayojua kama tetemeko la ardhi.
Mabamba haya ni sehemu ya nje ya [[tabakamwamba]] (lithosferi). Tabaka hili limevunjika katika vipande vikubwa 7 na vingine vidogo vinavyoelea juu ya tabaka lenye hali ya kiowevu chenye mnato mzito.
|