Hija : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
idadi za wahijji |
||
Mstari 12:
* [[Uislamu|Waislamu]] huwa na [[hajj]] kutembelea [[Makka]], [[Washia]] wanatembela pia ma[[kaburi]] ya ma[[imamu]] wao huko [[Najaf]], [[Karbala]], [[Mashhad]] na penginepo. Mwislamu aliyetimiza safari hii anapokea [[cheo]] cha "[[alhaji]]" kama sehemu ya jina lake.
Hija mashuhuri dunani inawezakana ni hajj ya Kiislamu kwenda Makka. Lakini hija mbalimbali za Uhindu
Kiasili neno "hija" katika [[Kiswahili]] lilimaanisha tu safari ya Waislamu kwenda Makka kwa sababu katika [[utamaduni]] wa [[Waswahili]] hili lilikuwa safari ya kidini pekee yenye jina maalumu.
|