Mata ogania : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 19:
Wanasayansi hutofautiana aina tatu za mata ogania katika udongo:
# [[biomasi]] ya viumbehai kama [[bakteria]]
# mabaki ya mimea (pia wanyama) yaliyopatikana kwa muda mfupi tu ambayo bado yako katika mchakato wa kuoza
# [[mboji]] ambayo ni mata ogania iliyooza tayari na kufikia hali ya kuwepo kwa kampaundi zisizoendelea kuchakata haraka.
Mstari 28:
Kwa upande mwingine udongo wa juu kwenye tambarare za chini zenye maji mengi unaweza kushika hadi asilimia 90 za mata ogania. Udongo mwenye asilimia 12 - 18 za kaboni ogania (sawa na asilimia 20-30 za mata ogania) huitwa udongo ogania" <ref>Troeh, Frederick R., and Louis M. (Louis Milton) Thompson. Soils and Soil Fertility. 6th ed. Ames, Iowa: Blackwell Pub., 2005. [http://oceanagrollc.com/?p=73]</ref>
== Marejeo ==
<references/>
|