Mkoa wa Dar es Salaam : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 8:
 
Wakazi wa eneo la mkoa walikuwa kiasili [[Wazaramo]] pamoja na makabila madogo kama vile Wandengereko na Wakwere. Kutokana na kukua na kupanuka kwa jiji kuna makabila yote.
 
==Majimbo ya bunge==
Wakati wa uchaguzi mkuu wa Tanzania mwaka 2012 mkoa huu ulikuwa na majimbo ya uchaguzi yafuatayo:
* Ukonga
* Ilala
* Segerea
* Temeke
* Kigamboni
* Mbagala
* Kawe
* Ubungo
* Kibamba
* Kinondoni
 
 
==Tazama pia==