Benjamin Mkapa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
→Wasifu: Nimerekebisha sarufi Tags: Mobile edit Mobile app edit |
→Wasifu: sahihisho la typo na sarufi |
||
Mstari 56:
Muhula wa pili wa miaka 5 wa Mkapa kama Rais uliisha Desemba 2005. Katika wakati wake ofisini, Mkapa alibinafsisha makampuni yanayomilikiwa na serikali na akaweka sera za soko huria.<ref name="aku" /> Wafuasi wake walimtetea kuwa kuvutia uwekezaji wa kigeni ungesaidia kukuza uchumi. Sera zake zilipata msaada wa [[Benki]] ya [[Dunia]] na [[IMF]] na kupelekea baadhi ya [[madeni ya nje]] ya Tanzania kufutiliwa mbali.<ref name="AJPS" />
Amekashifiwa kwa upungufu wa baadhi ya jitihada zake za kupambana na ufisadi <ref name="AJPS" /> vilevile matumizi
Baada ya kutoka ofisini kutokana na kukamilisha mihula miwili inayoruhusiwa, Mkapa anakumbwa na shutuma nyingi za ufisadi kati yao kujipa mwenyewe na Waziri wake wa zamani wa nishati na madini Daniel Yona "Mgodi wa Makaa ya Mawe wa Kiwira" yenye faida kubwa katika Nyanda za juu za kusini mwa Tanzania bila taratibu zifuatazo. Kwa kujibinafsishia mwenyewe mgodi wa makaa ya mawe wa Kiwira, alivunja katiba ya Tanzania ambayo haimruhusu rais kufanya biashara yoyote katika ikulu.
|