Njombe (mji) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
d Bot: Replacements: fix URL prefix |
||
Mstari 22:
Hadi mwaka 2012 kata za mji wa Njombe zilikuwa sehemu ya Wilaya ya Njombe ya awali; baadaye Njombe Mjini na [[Wilaya ya Njombe Vijijini]] zilitengwa kuwa halmashauri mbili za pekee. Kabla ya kugawiwa eneo la Njombe ilikuwa sehemu ya [[Mkoa wa Iringa]].
Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, wilaya hii ya Njombe mjini ilikuwa na wakazi wapatao 130,223 waishio humo. <ref>[
Wenyeji ni hasa [[Wabena]].
|