Tezi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
 
Mstari 1:
'''Tezi''' ni [[ogani]] za [[mwili]] zinazotoa [[dutu]] za pekee ambazo ni muhimu kwa kazi ya mwili kwa jumla na hasa kwa ogani nyingine. Zinapatikana katika wanayama[[wanyama]] pamoja na [[wanadamu]] na pia katika [[mimea]].
 
Kimsingi kuna aina mbili za tezi
*tezi exokrini zinazotoa kiowevu chenye kazi ya pekee kwa mfano tezi za [[jasho]], tezi za [[mate]] au tezi za [[nyongo]] ya utumbo. Tezi hizi zinaunganishwa na kichirizi ambacho ni njia ya kupeleka kiowevu pale kinapohitajika kwa mfano mdomoni, kwenye utumbo na kadhalika.
*tezi endokrini zinazotoa [[homoni]] na kuzimwaga katika mzunguko wa damu. Homoni zinazunguka kote mwilini lakini zinaathiri ogani pekee ambazo zina molekuli za kupokea homoni fuani.
 
 
Kimsingi kuna aina mbili za tezi:
*[[tezi exokrinieksokrini]] zinazotoa [[kiowevu]] chenye kazi ya pekee, kwa mfano tezi za [[jasho]], tezi za [[mate]] au tezi za [[nyongo]] ya [[utumbo]]. Tezi hizi zinaunganishwa na [[kichirizi]] ambacho ni njia ya kupeleka kiowevu pale kinapohitajika, kwa mfano [[Mdomo|mdomoni]], kwenye utumbo na kadhalika.
*[[tezi endokrini]] zinazotoa [[homoni]] na kuzimwaga katika [[mzunguko wa damu]]. Homoni zinazunguka kote mwilini lakini zinaathiri ogani pekee ambazo zina [[molekuli]] za kupokea homoni fuanifulani.
 
{{mbegu-biolojia}}
 
[[jamii:mwili]]