Vertebrata : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Masahihisho na nyongeza |
Masahihisho |
||
Mstari 22:
[[File:FemaleYellowLabrador.jpg|thumb|[[Mbwa]] ni mfano wa wanyama wa vertebrata]]
'''Vertebrata''' ni jina la kitaalamu la kutaja [[wanyama]] wote wenye [[uti wa mgongo]]. Mifano ni [[mammalia]], [[ndege (mnyama)|ndege]] (
Vertebrata wana [[kiunzi cha ndani]], neva kuu zinapitishwa ndani ya [[uti wa mgongo]] zinapohifadhiwa ndani ya ganda la mfupa. Kuna kitovu cha neva upande wa juu ya uti wa mgongo na kwa wanyama walioendelea zaidi kitovu hiki kimeendelea kuwa [[ubongo]] unahifadhiwa ndani ya [[fuvu]].
Vertebrata wako kote duniani kwenye mabara yote na aina mbalimbali za mazingira kuanzia nchi kavu, baharini hadi [[tako la bahari]] na hewani (ndege). Takriban spishi 58.000 zinajulikana. Ni wananyama wakubwa maana wanyama wasio na uti wa mgongo kwa jumla ni wadogo zaidi hadi wadogo sana.
== Uainisho ==
|