Afrika ya Mashariki ya Kiingereza : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image:Stamp British East Africa 1896 2.5a.jpg|right|120px|thumb|[[Stempu]] ya [[posta]] ya [[anna]] 2 1/2, mwaka [[
'''Afrika ya Mashariki ya Kiingereza''' (kwa [[
==Historia==
▲'''Afrika ya Mashariki ya Kiingereza''' ([[ing.]] ''British East Africa Protectorate'') lilikuwa jina la eneo la [[Kenya]] lililowekwa chini ya [[utawala wa ulinzi]] wa [[Uingereza]] kuanzia mwaka 1895 hadi 1920 [[BK]] kama mtangulizi wa koloni ya Kiingereza ya Kenya.
Wakati wa mashindano ya kugawa [[Afrika]] kati ya [[madola]] ya [[Ulaya]] [[Kampuni ya Kifalme ya Kiingereza kwa Afrika ya Mashariki]] ilianza shughuli zake katika eneo hili kwa [[kibali]] cha [[sultani]] wa [[Zanzibar]] kuanzia mwaka [[1888]]. Kampuni hiyo ilitakiwa kuwa na [[mamlaka]] juu ya eneo hili kwa kusudi la kufanya [[biashara]], lakini uwezo wake haukutosha kutimiza shughuli, hasa maandalizi ya kujenga [[reli ya Uganda]] kati ya [[Mombasa]] na [[Kampala]].▼
Baada ya kuazimia kujenga [[reli]], [[Uingereza]] iliona haja ya kulinda eneo la reli hiyo: ndipo ikatangaza eneo lote kati ya Mombasa na Uganda kuwa chini ya ulinzi wake kuanzia tarehe [[1 Julai]] 1895. Huo ndio mwanzo wa Afrika ya Mashariki ya Kiingereza ambaye baadaye iliitwa Kenya.
▲Wakati wa mashindano ya kugawa [[Afrika]] kati ya madola ya [[Ulaya]] [[Kampuni ya Kifalme ya Kiingereza kwa Afrika ya Mashariki]] ilianza shughuli zake katika eneo hili kwa kibali cha [[sultani]] wa [[Zanzibar]] kuanzia mwaka 1888. Kampuni hiyo ilitakiwa kuwa na mamlaka juu ya eneo hili kwa kusudi la kufanya biashara lakini uwezo wake haukutosha kutimiza shughuli hasa maandalizi ya kujenga [[reli ya Uganda]] kati ya [[Mombasa]] na [[Kampala]].
Mpaka na eneo chini ya utawala wa ulinzi wa [[Uganda]] ulisahihishwa mwaka [[1905]]; hadi wakati ule sehemu kubwa ya eneo la Kenya ya Magharibi ya leo ilihesabiwa kuwa upande Uganda.
Baada ya [[vita kuu ya kwanza]] hali ya eneo
{{Hoja Kuhusu Tanzania}}
{{Hoja Kuhusu Kenya}}
{{mbegu-historia}}
|