Sayari : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Mstari 13:
(c) kama ni gimba tawala ya obiti yake na hivyo limeondoa magimba mengine kwenye obiti kwa graviti yake,
 
Ufafanuzi huu uliamuliwa kwa kura hata kama wanaastronomia wengine hawakukubali. Azimio jili liliondoa hadhi ya sayari kwa [[Pluto]] <ref> Pia na magimbmagimba mengine kama vile Ceres, [[2 Pallas|Pallas]], [[3 Juno|Juno]] na [[4 Vesta|Vesta]]. Hizi nne zilitazamiwa kuwa sayari tangu kutambuliwa mnamo 1801 hadi kuitwa “asteroidi” kwenye miaka ya 1850. [http://aa.usno.navy.mil/faq/docs/minorplanets.php When did the asteroids become minor planets? ], Hilton, James L. kwenye tovuti ya U.S. Naval Observatory, iliangaliwa mwaka 2008</ref> yaliyowahiiliyowahi kutazamiwa kuwa sayari katika miaka iliyopita.
 
Wakati mwingine kuna pia magimba mengine yanayoitwa "sayari" ingawa hayatoshelezi masharti yote matatu.
 
* Magimba ya angani katika mfumo wa jua letu yenye umbo la kufanana na tufe yasiyolingana na shart c) huitwa "[[sayari kibete]]" - kwa mfano Pluto.
* Magimba yanayozunguka nyota nyingine nje ya mfumo wa jua letu, kama yana masi ya kutosha, huitwa "[[sayari za nje]]" (ing. ''[[w:exoplanet|exoplanet]]'')
 
==Sayari za jua letu==