Isilandi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d Removing Link FA template (handled by wikidata) - The interwiki article is not featured
Tags: Mobile edit Mobile web edit
Mstari 102:
 
== Jiografia ==
Iceland ina asili ya ki[[volkeno]]. Ni kisiwa kikubwa cha [[safu]] ya [[mgongo kati wa Atlantiki]] mahali ambako ma[[bamba]] ya [[bamba la Amerika ya Kaskazini|Amerika ya Kaskazini]] na [[bamba la Ulaya-Asia|Ulaya-Asia]] yanakutana. Kwa sababu hiyo kuna milima mingi, hasa [[volkeno]] ni nyingi. Kati ya volkeno mashuhuri za Iceland kuna [[Hekla]], [[Eldgjá]], [[Herðubreið]] na [[Eldfell]].
 
Kwa ujumla [[hali ya hewa]] ni baridi na [[barafuto]] zinafunika sehemu kubwa ya nchi. Hasa [[nyanda za juu]] ni baridi mno, hivyo hakuna [[mimea]]. Karibu makazi yote ya watu ni karibu na pwani.