Periheli : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
nyongeza kidogo |
No edit summary |
||
Mstari 6:
Majina haya hutumiwa kwa sababu obiti huwa na umbo la [[duaradufu]] na kwenye mzingo wa duaradufu kuna sehemu za karibu na sehemu za mbali na kitovu. Yasingekuwa na maana kama obiti ingekuwa [[duara]] kamili kwa sababi kwenye mzingo wa duara kila nukta ina umbali sawa na kitovu. Lakini obiti zenye umbo la duara kamili hazitokei hali halisi.
==Tazama pia==
* [[Perijio]] (sehemu ya karibu kwenye obiti ya kuzunguka dunia)
|