Mmea : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q756 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 2:
'''Mimea''' ni moja ya kundi la [[viumbe hai]] duniani ikijumuisha [[miti]], [[maua]], [[mitishamba]],n.k. Kuna zaidi ya aina 300,000 ya mimea.
Sayansi inayochunguza mimea huitwa [[botania]] ni kitengo cha [[biolojia]]. Kwenye [[uainishaji wa kisayansi]] Mimea hujumlishwa katika himaya ya planta kwenye milki ya [[Eukaryota]] (viumbehai vyenye [[kiini cha seli]] na [[utando wa seli]].).
Kwa jumla mimea huwa na uwezo wa [[usanisinuru]] yaani hujilisha kwa msaada wa nuru.
|