Ndizi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
kiungo |
|||
Mstari 41:
Ndizi kavu au zilizokaangwa baada ya kuiva huweza kuliwa kama chakula cha kutafuna. Tofauti na matunda mengine, ni vigumu kuandaa sharubati ya ndizi, na mara nyingi zinapopondwa huishia kuwa ujiuji tu.
Hata hivyo, ndizi zinabakia kuwa miongoni mwa
[[Picha:M. acuminata x balbisiana.JPG|thumb|250px|Maua ya ndizi baada ya kuchanua]]
Maua ya ndizi katika maeneo mengi yamekuwa yakitumika kama mapambo
Shina la mgomba kwa jamii za watu hasa wa huko Asia, hupikwa na kuliwa. Maji maji yanayopatikana
Majani ya migomba hutumika kama sahani au vyommbo vya kuwekea chakula hasa kwa jamii zinazo endeleza tamaduni za kale
[[Jamii:Chakula]]
|