Wilaya ya Ludewa : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 2:
'''Wilaya ya Ludewa''' ni wilaya mojawapo ya [[Mkoa wa Njombe]].
 
Katika [[sensa]] ya mwaka [[2002]], idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 128,520 <ref>[http://webwww.archivewavuti.orgweebly.com/webuploads/200312172331263/http:0/7/www.tanzania.go.tz6/census3076464/census/districts/ludewacensus20general20report20-202920march202013_combined_final20for20printing1.htmpdf Sensa ya 2012, Njombe Region]</ref>.
 
Ludewa iko upande wa kaskazini-mashariki ya [[Ziwa Nyassa]]. Makao makuu ni mji wa [[Ludewa]]. Wilaya imepakana na wilaya za [[wilaya ya Njombe|Njombe]] na [[wilaya ya Makete|Makete]], upande wa mashariki na [[mkoa wa Ruvuma]] na upande wa kusini na nchi ya [[Malawi]] ng'ambo ya ziwa.
Mstari 9:
 
Karibu na [[Lugarawa]] akiba kubwa ya mtapo wa chuma imetambuliwa kuna mpango wa kuanzisha [[migodi ya Liganga]]. Akiba ya madini za chuma nia zaidi ya tani bilioni 1 na hivyo akiba kubwa inayojulikana Afrika.
 
==Marejeo==
<references/>
 
{{Kigezo:Kata za Wilaya ya Ludewa}}