Kuku : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Masahihisho |
|||
Mstari 6:
| maelezo_ya_picha = Kuku: Jogoo na tembe
| himaya = [[Animalia]] <small>(Wanyama)</small>
| faila = [[Chordata]] <small>(Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)</small>
| nusufaila = [[Vertebrata]] <small>(Wanyama wenye uti wa mgongo)</small>
| ngeli = [[Aves]] <small>(Ndege)</small>
| oda = [[Galliformes]] <small>(Ndege kama [[kuku]])</small>
| familia = [[Phasianidae]] <small>(Ndege walio mnasaba na [[kwale (ndege)|kwale]])</small>
| jenasi = ''[[Gallus]]'' <small>(Kuku-mwitu)</small>
| bingwa_wa_jenasi = [[Mathurin Jacques Brisson|Brisson]], 1760
| spishi = ''[[Gallus gallus|G. gallus]]''
Mstari 18:
| bingwa_wa_nususpishi = (Linnaeus, 1758)
}}
'''Kuku''' (''Gallus gallus domesticus'') ni [[Ndege (mnyama)|ndege]] anayefugwa na [[binadamu]] tangu miaka 8,000 hivi. Watu hutumia [[nyama]] yake na [[mayai]] kama [[chakula]]. Katika nchi ya baridi [[laika|malaika]] yao ambayo ni manyoya madogo ya chini yanatumiwa kwa kujaza mashuka au makoti. [[Samadi]] ya kuku ni [[mbolea]] mzuri lakini inapaswa kukaa kwa muda kabla ya kutumiwa.
Kuku dume huitwa [[jogoo]] na jike ni [[tembe]]; mtoto wa kuku ni [[kifaranga]]. Kutokana na ufugaji uwezo wa kuruka umepotea.
Mstari 29:
== Utangulizi ==
Kuku
Ilisemekana kuwa, kuku walianza huko India, lakini ushahidi wa sasa unaonyesha kuwa walianza huko [[Vietnam]] miaka 10,000 iliyopita, kisha wakaenea mapaka Ugiriki, [[Misri]] n.k.
|