Rijili Kantori : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d →Mfumo wa nyota: All info is kept in Wikidata, removed: {{Link FA|de}} using AWB (10903) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Position Alpha Cen.png|thumb|300px|right|Mahali pa Rijili Kantarusi - Alpha Centauri katika kundinyota ya
'''Rijili Kantori''' , '''Rijili Kantarusi''' au [[ing.]] ''Alpha Centauri
Alpha Centauri ni nyota ya pekee kwa sababu ni nyota yetu jirani katika anga ina umbali wa [[miaka ya nuru]] 4.2 - 4.2.
== Mfumo wa nyota tatu==
[[Picha:Alpha Centauri relative sizes.svg|thumb|right|Uhusiano wa ukubwa wa nyota za
Rijili Kantarusi (Alpha Centauri)
Proxima Centauri (yaani nyota ya Kantarusi iliyo karibu zaidi nasi) imegunduliwa kuwa na [[sayari]] moja. Vipimo vinavyopatikana hadi sasa zinaonyesha uwezekano mkubwa ya kwamba sayari hii ni ya mwamba (kama dunia yetu, [[Mirihi]] au [[Zuhura]]) na inaweza kuwa na [[angahewa]], tena katika upeo wa joto unaoruhusu kuwepo kwa uhai. <ref>[https://phys.org/news/2017-05-scientists-tentative-explore-potential-climate.html Scientists take first tentative steps to explore potential climate of Proxima B], tovuti ya phys.org ya May 16, 2017 </ref>
==Marejeo==
<references/>
▲Alpha Centauri ni sehemu ya mfumo wa nyota tatu. Nyota mapacha za Alpha Centauri A na Alpha Centauri B ziko miaka ya nuru 4.36 kutoka kwetu na nyota ya tatu [[Proxima Centauri]] ina umbali wa miaka ya nuru 4.22.
[[Jamii:Nyota]]
|