Made Kuti

Mwimbaji wa afrobeat wa Nigeria, mtunzi wa nyimbo na mpiga ala

Ọmọ́rìnmádé Kútì (anajulikana pia kama Made Kuti, alizaliwa 26 Septemba 1995) ni mwimbaji wa afrobeat, mtunzi wa nyimbo na mpiga ala wa Nigeria.[1]

Made Kuti

Marejeo

hariri
  1. Ihekire, Chinonso (2021-07-10). "Made Kuti Steps Outside The Shrine With The Movement". The Guardian (Nigeria) (kwa American English). Iliwekwa mnamo 2021-07-18.
  Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Made Kuti kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.