Kwa maana nyingine ya jina hili tazama hapa

Malolo ni kata ya Manisipaa ya Tabora katika Mkoa wa Tabora, Tanzania yenye postikodi namba 45103.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa 12,366 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 3,424 waishio humo.[2]

Marejeo hariri

  Kata za Manisipaa ya Tabora - Mkoa wa Tabora - Tanzania  

Chemchem | Cheyo | Gongoni | Ifucha | Ikomwa | Ipuli | Isevya | Itetemia | Itonjanda | Kabila | Kakola | Kalunde | Kanyenye | Kidongochekundu | Kiloleni | Kitete | Malolo | Mapambano | Mbugani | Misha | Mpela |Mtendeni | Mwinyi | Ndevelwa | Ng'ambo | Ntalikwa | Tambuka-Reli | Tumbi | Uyui


  Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Tabora bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Malolo (Tabora) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.