Mama wa Mungu Derzhavnaya

Mama wa Mungu Derzhavnaya (yaani "Anayetawala") ni picha takatifu ya Urusi iliyokadiriwa kuchorwa katika karne ya 18. Ni kati ya zile zinazoheshimiwa zaidi na Warusi duniani kote[1].

Bibi Yetu Derzhavnaya
Picha takatifu katika Kronstadt Naval Cathedral

Tanbihi hariri

  1. Yazykova (2010), page 49.

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu dini ya Ukristo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mama wa Mungu Derzhavnaya kama historia yake, matokeo au athari zake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.