Mary C. Kim Joh (pia anajulikana kama Che Sik Cho, 1904 - Februari 9, 2005) alikuwa mtunzi wa muziki, mtaaluma na mwanasayansi wa tafiti wa kitabibu wa Korea-Marekani.[1] Joh anajulikana zaidi kwa kuandika "School Bell" (학교종 Hak'kyo Jong) mwaka wa 1945. Wimbo huu wa watoto hufunzwa kwa wanafunzi wa shule ya awali nchini Korea Kusini.[2]

Marejeo hariri

  1. Dunning, Jennifer (2005-02-11), "Mary Kim Joh, 101, Who Wrote a Korean Anthem, Is Dead", The New York Times (kwa en-US), ISSN 0362-4331, iliwekwa mnamo 2022-08-03 
  2. "Mary Kim Joh", Wikipedia (kwa Kiingereza), 2022-05-02, iliwekwa mnamo 2022-08-03 
  Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mary Kim Joh kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.