Maxine Winokur Kumin (6 Juni 19256 Februari 2014) alikuwa mshairi wa kike kutoka nchi ya Marekani. Mwaka wa 1973 alipokea Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi.

Maxine Kumin, 1974

Viungo vya Nje hariri

  Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Maxine Kumin kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.