Mfuko wa maendeleo ya vijana Tanzania

Mfuko wa maendeleo ya vijana Tanzania, serikali kwa mara ya kwanza baada ya miaka saba, imetoa fedha kwa ajili ya Mfuko wa Maendeleo ya Vijana kwa lengo kuu la kuwawezesha vijana kujitengenezea fursa za ajira.

Alieleza kuwa Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Miaka Mitano pia umesisitiza juu ya jukumu la serikali kuwawezesha vijana kiuchumi kupitia utoaji wa mikopo itakayotolewa kwa kuzingatia miongozo itakayorahisisha upatikanaji wa mikopo hiyo kwa walengwa.[1]

Marejeo hariri

  1. "Tanzania: Govt Releases Funds to Empower Youth". allAfrica.com (kwa Kiingereza). 2022-01-07. Iliwekwa mnamo 2022-12-11.