Mkoa wa Aydın

Aydın ni mkoa uliopo mjini kusini-magharibi mwa nchi ya Uturuki. Mkoa upo kwenye Kanda ya Aegean . Mji mkuu wa mkoani hapa ni Aydın ambao una makadirio ya wakazi wapatao 150,000 (2000).

Flag of Turkey.svg Mkoa wa Aydın
Maeneo ya Mkoa wa Aydın nchini Uturuki
Aydın districts.png
Maelezo
Kanda: Kanda ya Aegean
Eneo: 8007 (km²)
Idadi ya Wakazi 998,621 TUIK 2007 (est)
Kodi ya Leseni: 09
Kodi ya eneo: 0256
Tovuti ya Gavana http://www.aydın.gov.tr
Utabiri wa hali ya hewa turkeyforecast.com/weather/aydın

Wilaya za mkoani hapaEdit

Mkoa wa Aydın umegawanyika katika wilaya 17 (mji mkuu umekoozeshwa):

Viungo vya NjeEdit