Mkoa wa Louga
Mkoa wa Louga ni mkoa mmojawapo nchini Senegal. Makao makuu yako mjini Louga . Eneo la mkoa ni kilomita za mraba 24,889. Wakati wa sensa ya mwaka 2013 mkoa ulikuwa na wakazi 874,193[1]
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/d/d8/Louga_in_Senegal.svg/220px-Louga_in_Senegal.svg.png)
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/32/Map_of_the_departments_of_the_Louga_region_of_Senegal.png/220px-Map_of_the_departments_of_the_Louga_region_of_Senegal.png)
Marejeo
hariri- ↑ Senegal: Administrative division, tovuti ya citypopulation.de, iliangaliwa Januari 2022