Mohamed Hamisi Missanga

Mohamed Hamisi Missanga (amezaliwa 15 Machi, 1945) ni mbunge wa jimbo la Singida Kusini katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia hariri

Marejeo hariri

  1. "Mengi kuhusu Mohamed Hamisi Missanga". 25 Aprili 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-18. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.