Mouloud Belatrèche

Mouloud Belatrèche (alizaliwa 10 Machi 1976 huko Médéa) ni mwanasoka wa kulipwa kutoka nchini Algeria. Kwa sasa anacheza kama kiungo katika ligi ya 2 ya Algeria klabu ya CA Bordj Bou Arreridj. [1][2]

Ushiriki Katika Klabu hariri

Olympique de Médéa

Belatrèche alisajiliwa msimu wa joto wa 2010 na klabu ya Olympique de Médéa kwa mara yake ya pili katika klabu ya mji wake wa nyumbani kutoka klabu ya JSM Béjaïa.

Marejeo hariri

  1. "Archived copy". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-05-06. Iliwekwa mnamo 2010-10-26.  Unknown parameter |url-status= ignored (help)
  2. "Algeria - M. Belatrèche - Profile with news, career statistics and history - Soccerway". 

Viungo Vya Nje hariri

  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mouloud Belatrèche kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.