Mkoa wa Moyen-Ogooué

(Elekezwa kutoka Moyen-Ogooué)

Moyen-Ogooué ni moja kati ya mikoa tisa ya Gabon. Mkoa umechukua eneo la kimomita za mraba zipatazo 18,535. Mji mkuu wa mkoa huu ni Lambaréné.

Mkoa wa Moyen-Ogooué
Mkoa wa Moyen-Ogooué

Peke yake miongoni mwa mikoa ya Gabon, Moyen-Ogooué haina pwani ya bahari wala mpaka wa nchi ya jirani. Mkoa umepakana na mikoa ifuatayo:

Moyen-Ogooué imepakana na mingine mingi kuliko mkoa wowote nchini Gabon.

Departments hariri

 
Departments za Moyen-Ogooué

Moyen-Ogooué imegawanyika katika departments 2: