Moyo ni makao makuu ya Wilaya ya Moyo (Mkoa wa Kaskazini) nchini Uganda.

Ramani ya Mji wa Moyo,Uganda

Idadi ya wakazi wake ni takriban 12,100 (2020).

Tazama pia hariri

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu: