Msimbati ni kata ya Wilaya ya Mtwara Vijijini katika Mkoa wa Mtwara, Tanzania.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 5,715 [1].

Marejeo hariri

  Kata za Wilaya ya Mtwara Vijijini - Mkoa wa Mtwara - Tanzania  

Dihimba | Kitere | Libobe | Lipwidi | Madimba | Mahurunga | Mangopachanne | Mayanga | Mbawala | Mkunwa | Moma | Mpapura | Msanga Mkuu | Msimbati | Muungano | Nalingu | Nanguruwe | Naumbu | Ndumbwe | Tangazo | Ziwani


  Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Mtwara bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Msimbati kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.