Mto Kiwira
Mto Kiwira ni kati ya mito ya mkoa wa Songwe (Tanzania Kusini Magharibi) ambayo maji yake yanaishia katika bahari Hindi kupitia Ziwa Nyasa na mto Zambezi.

Daraja la Mungu kwenye mto Kiwira.
Tazama piaEdit
TanbihiEdit
Viungo vya njeEdit
Makala hii kuhusu maeneo ya Tanzania bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mto Kiwira kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno. |