6°02′36″S 38°46′48″E / 6.04333°S 38.78000°E / -6.04333; 38.78000

Ramani ya Mto Mvavi

Mto Mvavi (pia: Mvave) ni kati ya mito ya mkoa wa Pwani (Tanzania mashariki).

Maji yake yanaelekea Bahari Hindi. Unaishia baharini kwenye kijiji cha Saadani katika wilaya ya Bagamoyo.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri