Huyu ni Clawn Wizzy

Simon W. Msika(alizaliwa 2003)anajulikana kama Clawn Wizzy_official au Santana De Gareth.Ni mwanafunzi wa kidato cha 3 katika sekondari Alfagems.Santana amejifunza martial arts na kupigana WWE(watu weusi).Anashabikia Manchester city katika ligi ya England na Barcelona katika ligi ya La liga.