Buteng'e Musa
Joined 13 Februari 2017
Tungo, ni uwekaji wa pamoja au upangaji wa pamoja wa vipashio sahili ili kujenga vipashio vikubwa zaidi.
Tungo ipo katika makundi au aina nne
(i) Tungo neno
(ii) Tungo Kirai
(iv)Tungo Kishazi
(v) Tungo Sentensi
Tungo neno ni silabi au mkusanyiko wa silabi zinazotamkwa au kuandikwa na kuleta maana. Hii ina maana kuwa ili kupata tungo neno katika lugha ya Kiswahili,