Clophas Flavian Idd
Joined 28 Februari 2019
Clophas Flavian Idd alizaliwa tarehe 10/10/1990 katika Kijiji cha Ngulu, Kata ya Kwakoa, Tarafa ya Jipe Ndea, Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro nchini Tanzania.
Wasifu wa Clophas Flavian Idd kwenye elimu.
.Mwaka 1998-2004 Alisoma shule ya
Msingi Ngulu.
.Mwaka 2005-2008 Alisoma Kifaru
Sekondari iliyopo Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro.
.Mwaka 2008 Alisoma Chuo Cha
Kompyuta Dar es Salaam tawi la Dodoma (UCC).
.Mwaka 2011-2012 Alisoma Chuo Cha
Uandishi wa Habari Morogoro (MSJ)ngazi ya Cheti(Astashahada).
.Mwaka 2012-2014 Alisoma Chuo cha
Uandishi wa Habari Morogoro (MSJ) (Shahada).
- Sehemu za Kazi alizofanya
.Clophas Flavian Idd ni Mwandishi
wa Habari nchini Tanzania na ameshawahi kufanya Kazi katika sehemu zifuatazo....
.Mwaka 2013-2015 alikuwa Mhariri
na Msimamizi wa vipindi katika kituo cha Radio Okoa Fm kilichopo mkoani Morogoro nchini Tanzania. Radio hiyo inamilikiwa na Mchungaji anayeitwa Francis Katengu.
.Mwaka 2016 Alifanya kazi Kama
Mwakilishi (reporter) kutoka mkoani Morogoro wa Kituo Cha East Africa Radio cha Dar es Salaam.
.Mwaka 2017-2018 Alifanya kazi kazi katika kituo Cha Radio Ukweli Fm Morogoro nchini Tanzania, Kama Mhariri wa habari, na Masimamizi wa vipindi. Kituo hiki kinamilikiwa na Jimbo katoliki Morogoro.
.Mwaka 2019---- Anafanya kazi katika
Televisheni ya ITV kama mpiga picha iliyopo nchini Tanzania, pia ni mwakilishi (Reporter) wa East Africa Television na East Africa Radio mkoa wa Morogoro.