Enock twina Christian ni kijana wa kitanzania aliyezaliwa tarehe 04/05/2002 kwenye hospitali ya frybaggs nchini marekani alisoma shule ya fathermatter iliyopo new York marekani Na kufaninikiwa kuhitimu degree ya Sheria huko Oxford university nchini uingereza Na Baadae kuchukua master's na na PhD ya sayansi ya anga huko Harvard university nchini marekani