Muhammad Amour Chomboh
Muhammad Amour Chomboh (amezaliwa tar. 25 Januari 1953 sehemu ya Makunduchi kisiwani mwa Zanzibar) ni mbunge wa jimbo la Magomeni katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Maisha yake hariri
Mh. Chomboh ni Mwislamu wa aina ya Sunni. Ameoa na wana watoto wanane.
Historia ya kazi yake hariri
Jina la kampuni | Cheo | Kuanzia | Hadi |
---|---|---|---|
|
Meneja wa stoo | 1972 | 1979 |
|
Mkurugenzi | 1986 | 1990 |
|
Mkurugenzi | 1991 | 1994 |
|
Meneja wa Tawi (Znz) | 1994 | 1999 |
|
Meneja wa Fedha | 2000 | 2005 |
|
Mbunge kutoka Magomeni | 2005 | 2015 |
Tazama pia hariri
Marejeo hariri
- ↑ "Mengi kuhusu Muhammad Amour Chomboh". 19 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2012-05-20. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
- Tovuti ya Mh. Chomboh binafsi[dead link]
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |