Mustafa Al-Bassam
Mustafa Al-Bassam (amezaliwa Januari 1995) ni mtafiti wa usalama wa kompyuta na mdukuzi wa Uingereza.
Mustafa Al-Bassam | |
Picha ya Mustafa Al-Bassam | |
Amezaliwa | Mustafa Al-Bassam 1 Januari 1995 Iraq |
---|---|
Kazi yake | Mdukuzi, mtafiti wa usalama wa mifumo ya kompyuta |
Alikuwa mmoja wa waanzillishi wa kikundi cha udukuzi cha LulzSec mnamo mwaka 2011 ambacho kilihusika na udukuzi kadhaa katika makampuni yenye nyadhifa kubwa.[1][2]
Baadaye aliendelea kuwa mmoja wa waanzilishi wa Chainspace, kampuni iliyokuwa ikitengeneza mtandao wa kutengeneza mikataka, ambayo ilinunuliwa na Facebook mnamo mwaka 2019.[3][4] Hivi sasa ni mwanafunzi wa PhD katika Kikundi cha utafiti wa usalama wa taarifa katika Chuo cha University College London. Forbes ilimworodhesha Al-Bassam kama mmoja wa wajasiriamali 30 chini ya umri wa miaka 30 katika teknolojia mnamo mwaka 2016.
Maisha ya hapo awali hariri
Al-Bassam alizaliwa Baghdad, Iraq mnamo Januari 1995, na alihamia mjini London, Uingereza akiwa na miaka mitano.[5] Alipokea shahada ya kwanza ya Sayansi ya Kompyuta kutoka Chuo cha King's College London.[6] na kwa sasa ni mwanafunzi wa PhD katika Chuo cha University College London.[7]
Marejeo hariri
- ↑ Coleman, E. Gabriella (2014). Hacker, hoaxer, whistleblower, spy: the many faces of Anonymous (in English). ISBN 978-1-78168-583-9. OCLC 890807781.
- ↑ Adi Robertson (2013-05-16). LulzSec hackers sentenced to between one and three years in prison by UK court (en). The Verge. Iliwekwa mnamo 2020-02-19.
- ↑ Field, Matthew (2019-06-26), "The tiny UK start-up founded by UCL scientists now at the heart of Facebook's Libra currency", The Telegraph (in en-GB), ISSN 0307-1235, retrieved 2020-02-19
- ↑ Facebook Makes First Blockchain Acquisition With Chainspace: Sources (en). Cheddar. Iliwekwa mnamo 2020-02-19.
- ↑ Miller, Carl (2018). The death of the gods: the new global power grab (in English). ISBN 978-1-78515-133-0. OCLC 1051237704.
- ↑ "Cyber defence unit 'may use hackers'", BBC News (in en-GB), 2013-10-22, retrieved 2020-02-19
- ↑ David Braue (2019-06-14). Despite high-profile hacks, companies still aren’t behaving securely: ex-LulzSec hacker (en). CSO Online. Jalada kutoka ya awali juu ya 2020-02-19. Iliwekwa mnamo 2020-02-19.