Muundo wa data

Ni mfumo unaoruhusu upatikanaji wa data uliopangiliwa katika Computer

Katika utarakilishi, muundo wa data (kwa Kiingereza: data structure) ni mpangilio wa data unaowezesha upatikanaji na mabadiliko yenye kufaa. Kwa usahihi zaidi, muundo wa data ni mkusanyo wa thamani za data, uhusiano kati ya thamani hizo na operesheni zinazoweza kutumika kuhusu data hizo.

Marejeo hariri

  • Kiputiputi, O. (2011). Kamusi sanifu ya kompyuta. Taasisi ya Taaluma za Kiswahili, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, K.602.
  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.