Mwanafalsafa
Mwanafalsafa ni mtaalamu wa fani ya falsafa, iliyoanzishwa katika Ugiriki ya Kale na ikaenea duniani kote hadi leo.

Plato ni kati ya wanafalsafa maarufu zaidi.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Viungo vya njeEdit
Wikimedia Commons ina media kuhusu: