Mwinchoum Abdulrahman Msomi
Mwinchoum Abdulrahman Msomi (amezaliwa tar. 3 Aprili 1961) ni mbunge wa jimbo la Kigamboni katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama piaEdit
MarejeoEdit
- ↑ Mengi kuhusu Mwinchoum Abdulrahman Msomi (13 Julai 2006). Jalada kutoka ya awali juu ya 2011-10-18. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
Makala hiyo kuhusu wanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |