Mwinchoum Abdulrahman Msomi

Mwinchoum Abdulrahman Msomi (amezaliwa tar. 3 Aprili 1961) ni mbunge wa jimbo la Kigamboni katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia hariri

Marejeo hariri

  1. "Mengi kuhusu Mwinchoum Abdulrahman Msomi". 13 Julai 2006. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-10-18. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.