New Ford-Kenya
(Elekezwa kutoka New Ford-K)
New Ford-Kenya ni chama cha kisiasa nchini Kenya kilichojitenga na FORD-Kenya kabla ya uchaguzi 2007. Kiongozi wake ni Mukhisa Kituyi. Kilishiriki na Party of National Unity na kumpigania Mwai Kibaki kwa kura ya rais.
Chama kiliingia bungeni na wabunge 3.