Nuhu Abdullahi

Muigizaji filamu wa Nigeria

Nuhu Abdullahi Balarabe (alizaliwa 3 Januari 1991) ni muigizaji na muandaaji wa filamu wa Nigeria,[1] alizaliwa na kukulia katika jimbo la Kano. Nuhu ni mmoja wa wasanii wakubwa wa filamu kutoka Kannywood , huigiza filamu katika lugha za Kihausa na Kiingereza. alishinda tuzo ya City People Entertainment Awards kama muigizaji bora mwaka 2015,[2]

Taaluma hariri

Nuhu Abdullahi alijiunga na Kannywood film industry mwaka 2009 kama mtayarishaji wa filamu ,na alitayarisha filamu mbalimbali ikiwemo Baya da Kura, Fulanin Asali, Kuskure, Mujarrabi, na nyingine nyingi.[3] Nuhu alianza kutokea katika filamu ya kwanza ya Ashabul Kahfi, na kupata mashabiki wengi Nuhu Abdullahi huigiza katika Kannywood Pamoja na Nollywood

Marejeo hariri

  1. Lere, Muhammad (22 September 2015). "I want popular actress, Fati Washa, as my wife – Kannywood actor – Premium Times Nigeria". Premium Times News. Iliwekwa mnamo 23 August 2019.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  2. Lere, Muhammad (18 August 2015). "Kannywood: Rahama Sadau, Adam Zango, others win at City People awards 2015 – Premium Times Nigeria". Premium Times News. Premium Times News. Iliwekwa mnamo 23 August 2019.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  3. Nathaniel, Nathan. "I Love Fati Washa As Wife, But I’m Not Ready for Marriage…Actor, Nuhu Abdullahi". thenigerianvoice.com. Iliwekwa mnamo 23 August 2019.  Check date values in: |accessdate= (help)
  Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Nuhu Abdullahi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.