Paka Miguu-myeusi
Paka Miguu-myeusi (Felis nigripes)
Paka Miguu-myeusi (Felis nigripes)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mammalia (Wanyama wenye viwele)
Oda: Carnivora (Wanyama mbua)
Nusuoda: Feliformia (Wanyama kama paka)
Familia: Felidae (Wanyama walio na mnasaba na paka)
Nusufamilia: Felinae (Wanyama wanaofanana na paka)
Jenasi: Felis
Linnaeus, 1758
Spishi: F. nigripes
Burchell, 1824
Msambao wa paka miguu-myeusi
Msambao wa paka miguu-myeusi

Paka miguu-myeusi (Felis nigripes) ni mnyama mbuai wa nusufamilia Felinae katika familia Felidae. Paka huyu ni mdogo kuliko paka wengine wa Afrika[1] na anatokea maeneo makavu ya kusi-magharibi ya bara.

Picha hariri

Marejeo hariri

  1. Wozencraft, W. Christopher (2005). "Order Carnivora (pp. 532-628)". In Wilson, Don E., and Reeder, DeeAnn M., eds. Mammal Species of the World: A Taxonomic and Geographic Reference (3rd ed.). Baltimore: Johns Hopkins University Press, 2 vols. (2142 pp.). ISBN 978-0-8018-8221-0. OCLC 62265494

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Paka Miguu-myeusi kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.